Pages

Tuesday, December 17, 2013

GRAVIOLA TREE (Annona Senegalensis, Soursop-Guyabano)


Tumaini jipya la kutibu Saratani siku zijazo. Wadigo huita Mbokwe.


GRAVIOLA TREE (Annona Senegalensis, Soursop-Guyabano kwa Kiswahili linaitwa Topetope au Stafeli ni mti ulioonyesha kufanya miujiza kutibu saratani mbalimbali zinazosumbua wanadamu. Nchini Tanzania unaweza kupata topetope au stafeli katika mikoa ya Rukwa, Mbeya, Iringa, Ruvuma, Morogoro, Pwani, Dar es Salaam, Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Bukoba n.k
Huko Brazil watafiti wanahangaika na topetope au stafeli katika kutibu saratani aina mbalimbali kwa kuwa imeonesha kwamba stafeli lina uwezo mkubwa wa kutibu saratani vizuri kuliko tiba za dawa za viwandani (chemotherapy) aina ya Adriamycin-iliyozoeleka kutibu saratani zaidi ya kuwa ndiyo tiba ya saratani, pia ina dawa ya kuua bacteria na fangasi na wadudu ndani ya tumbo kama aina zote za minyoo! Linashusha shinikizo la damu( Blood pressure) iliyo juu na linatuliza neva zilizosisimka. Mungu alisema ni chakula alikuwa na maana hiyo.
Licha topetope (Stafeli) kutibu saratani kwa usalama na rahisi bila madhara, au kupungua uzito wala kunyonyoka nywele, pia linalinda na kujenga mfumo wa mwili usiambukizwe pia tunda linachangamsha mwili na kumpa mtu afya ya ujana wake. Tafiti zinazoendelea kufanyika huko Brazil na Korea ya Kusini zinaonyesha aina zote za seli za saratani huuawa na topetope katika mwanzo tu wa kutumia stafeli na aina 12 za kwanza ikiwemo saratani ya matiti, glandi ya prosteti, utumbo mpana, mapafu na kongosho ndizo zinamalizwa mapema kabisa. Cha ajabu, tafiti zimeonyesha kuwa lishe ya topetope ikiwa imeshayeyushwa na kufyonzwa mwilini, inaua seli za saratani na sio zile zenye manufaa za mwili, ulimbo(gundi) ya mti huo hutibu vidonda vya kujikata. Pia tunda la tope tope  hutibu kuharisha, kuhara damu na kutapika.
Ni muhimu kila familia ikaangalia uwezekano wa kupanda miti ya stafeli/ topetope ili kuboresha afya zetu.
Pia tunatibu Taifodi (Typhoid), Malaria, michirizi inayosababishwa na ujauzito( Stretch Marks in Pregnancy), mkanda wa Jeshi (Hyper Zosters), Magonjwa ya ngozi, tumbo, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa gesi tumboni, kupunguza makali ya saratani, kisukari, BP ya kupanda, Maumivu makali wakati wa hedhi (Dysmenorrhea), kutoka damu nyingi wakati wa hedhi (Menorrhagia), kukawia kuingia hedhini (Amenorrhea), matatizo ya kukoma kwa hedhi (Menopause), kulegea kwa uzazi (vagina discharge), miguu kuwaka moto, vidonda vya tumbo na kufunga kuharisha, matatizo ya uvimbe wa kizazi n.k
 

Mazingira Natural Products
Mbeya
Simu; +255 754 807401, +255 719 564276
Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com

No comments:

Post a Comment