Pages

Saturday, September 20, 2014

MAAJABU YA MCHICHA NAFAKA (GRAIN AMARANTH).



Mchicha nafaka umekuwa ukilimwa na wa Aztecs miaka 8000 iliyopita huko  Mexico na Peru. Siku hizi unalimwa Afrika, India, China, Russia na Amerika ya kusini na Kaskazini. Hapa Tanzania unalimwa kidogo sana labda kwa kutokujua faida zake kiafya.
Mchicha nafaka ni mchicha ambao umefanyiwa utafiti na kuonekana kuwa mbegu zake zinaweza kutumika kama chakula. Mchicha nafaka unaweza kutumika kama mboga za majani na mbegu. Mchicha nafaka ni nafaka  bora katika ulimwengu huu kwa sasa.
Unajulikana kuwa ni nafaka bora ulimwenguni  kwasababu ya virutubisho vingi ulivyonavyo. Mchicha nafaka unavirutubisho vya vitamin, madini, nyuzinyuzi na Amino Acido. Mchicha nafaka ni chanzo kizuri cha Protein,Calcium, Chuma, Magnesium, Potassium, Phosphorus na vitamin A, C na E na Amino acids, lysine kutoka katika kiwango cha  AMINO ACID (Mchicha nafaka una Amino acid 19% na unaweza kutengeneza lysine kiasi cha  5.9-7.1 ukilinganishwa na Maharage ya soya yenye kiwango kikubwa AMINO ACID(3%) lakini yanaweza lysine kiasi cha 2.3 tu (lysine ndiyo inayohusika na kinga mwilini). Mchicha nafaka una protini ya Albumins na Globulins ikilinganishwa na protini iliyomo kwenye ngano itwayo Prolamins ambayo ni ngumu na kusagika. (More soluble and digestible). Mchicha nafaka una vitamin E sawa na mafuta ya Mzeituni (Olive oil). Baadhi ya magonjwa yanazuilika au kutibiwa kwa kutumia mchicha nafaka ni kisukari, Magonjwa ya moyo (Cardiovascular disease (CVD) Maumivu ya magoti ,maumivu ya vidonda vya koo (mdomoni), Baridi Ya bisi ,minyoo aina ya tegu , kansa ya tumbo ,maziwa ,koo, mapafu nk, kupunguza uzee (Vitamins), Magonjwa ya ngozi ,kuzuia meno kupata kutu ,shinikizo la damu,Huzuia mwili kufa ganzi , Huzuia udhaifu wa misuli , leremu(cholesterol) kwa sababu ya kuwemo ndani ya mchicha nafaka tocotrinols na phytosterols, zinazoondoa lehemu mbaya mwilini. Ugonjwa wa Celiac na matumizi ya mchicha nafaka umethibitika kuwa unaongeza kinga ya mwili (CD4) kwa waathirika wa Ukimwi nk
Pia mchicha nafaka unaweza kutumika kuandaa vyakula mbalimbali kama Uji, Ugali, Chapati, Mikate, Maandazi, Keki, Biskuti, supu, bisi, kuchanganya bisi kwenye wali , mboga za majani (majani ya mchicha) nk.
Watengenezaji wa mikate ya ngano iliyokobolewa ni bora wakaanza kuchanganya mchicha nafaka na ngano wataongeza viini lishe kwenye mikate kwa faida ya afya zetu. Pia mabaki ya mchicha nafaka yanafaa kuandaa vyakula mbalimbali vya mifugo kama ngombe, mbuzi, kuku, nguruwe nk.
Faida zake kwa jamii itaweza kupata viini lishe (Nutrients) tokana na majani au mbegu za mchicha kama protein, starch, madini mbalimbali na vitamin.jamii inaweza kuongeza kipato kwa kuuza mbegu unga nk.
Jamii kwa kutumia mchicha nafaka wataweza kujiongezea kinga na tiba ya maradhi mbalimbali mwilini.
ANGALIZO
Mbegu za mchicha nafaka zina weupe uliofubaa au rangi ya malai(cream).
Kuhusu kupanda na mbegu wasiliana nasi.
Ukifanya jitihada za kututembelea ofisini utajua tunatibu maradhi mengine pia ikiwamo homa ya matumbo (Typhoid), Malaria, michirizi inayosababishwa na ujauzito( Stretch Marks in Pregnancy), mkanda wa Jeshi (Herper Zosters), Magonjwa ya ngozi, tumbo, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa gesi tumboni, kupunguza makali ya saratani, kisukari, BP ya kupanda. Mengine ni pamoja na maumivu makali wakati wa hedhi (Dysmenorrhea), kutoka damu nyingi wakati wa hedhi (Menorrhagia), kukawia kuingia hedhini (Amenorrhea), matatizo ya kukoma kwa hedhi (Menopause), kulegea kwa uzazi (vagina discharge), miguu kuwaka moto, vidonda vya tumbo, kufunga kuharisha, matatizo ya uvimbe wa kizazi na mengine mengi ambayo si rahisi kuyaorodhesha isipokuwa baadhi.
Na kadri mgonjwa anapofika na kujieleza, ndivyo tunavyotambua Tatizo analokuwa nalo na anahitaji tiba ipi.


Mazingira Natural Products
Mbeya
Simu; +255 754 807401, +255 719 564276
Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com


SPINACH (SPINACIA OLERACIA




Spinach ( Spinacia Oleracia ) inajulikana kama mojawapo ya mbogamboga za kijani bora zaidi zenye kuhifadhiwa na virutubisho  muhimu na element asilia. Asili yake ni mashariki ya kati ; ilijulikana eneo la joto la uajemi na katika zama za kati spinachi  ilikuja kuwa maarufu nchini ufaransa ,Hispania  na nchi nyingine za Ulaya kusini. Sasa hulimwa duniani kote. Spinachi inapendeke na wanalishe wa kisasa kama chanzo bora cha madini chuma , vitamin, madini na madini chumvi.
Spinachi ni mmea wenye karoli ndogo na kati ya g100 ina kalori 17 tu. Spinachi ni tajiri wa madini kama Magnesium, Potassium, Phosphorus, Calcium, shaba, Iodine, Zinki, Manganizi na kiasi cha madini chuma, ina aside za foliki ( Folicic acid ) na vitamin A,C,E,K na B Complex, pia ni tajiri wa asidi za amino  na nyuzinyuzi,  si hivyo  tu bali ina mafuta (Lipid ), madini chumvi na elementi muhimu.  Faida za spinach ni pamoja na kuongeza ukojoaji (diuretic), inatuliza, ni dutu inayopandisha kioevu, dawa za kuharisha, kupooza na tabia nyinginezo, inazuia kansa, inapunguza kiwango cha sukari mwilini, maumivu ya koo, haemorrhoids, upungufu wa damu, matatizo ya macho kutokuona usiku, kuimarisha fizi, cystitis, nephiritis, wenyeshida ya kutoka mkojo, wajawazito na wanaonyonyesha. Pia spinachi ikichanganywa na mbegu za uwatu na asali ni nzuri kwa bronchitis, TB, asthma na kikohozi kikavu .
Mbogamboga hii inaweza kutumika kuandaa milo mbalimbali, pia kuandaa milo na mbalimbali, pia kuandaa dawa kali ya juisi ya spinachi kuna faida zisizoesabika za kiafya za spinach.
Tahadhali
Kwa kuwa kuna oxalic acid wale wenye matatizo ya gout. Ini, mawe kwenye figo na arthritis wasitumie spinach mpaka watibu matatizo hayo.
Ukifanya jitihada za kututembelea ofisini utajua tunatibu maradhi mengine pia ikiwamo homa ya matumbo (Typhoid), Malaria, michirizi inayosababishwa na ujauzito( Stretch Marks in Pregnancy), mkanda wa Jeshi (Herper Zosters), Magonjwa ya ngozi, tumbo, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa gesi tumboni, kupunguza makali ya saratani, kisukari, BP ya kupanda. Mengine ni pamoja na maumivu makali wakati wa hedhi (Dysmenorrhea), kutoka damu nyingi wakati wa hedhi (Menorrhagia), kukawia kuingia hedhini (Amenorrhea), matatizo ya kukoma kwa hedhi (Menopause), kulegea kwa uzazi (vagina discharge), miguu kuwaka moto, vidonda vya tumbo, kufunga kuharisha, matatizo ya uvimbe wa kizazi na mengine mengi ambayo si rahisi kuyaorodhesha isipokuwa baadhi.
Na kadri mgonjwa anapofika na kujieleza, ndivyo tunavyotambua Tatizo analokuwa nalo na anahitaji tiba ipi.
 

Mazingira Natural Products
Mbeya
Simu; +255 754 807401, +255 719 564276
Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com

MMEA WA COMFREY(RUSSIAN COMFREY-SYMPHYTUM OFFICINALE AU PEREGRINUM) WENYE MANUFAA KWA SICKLE CELL




Komfrey ni mmea uishio miaka mingi. Ina umuhimu kwa mboga zenye afya kwa familia, pia malisho bora kwa wanyama wengi. Majani ya mmea huu huweza kutengenezwa mbolea kwa ajili ya bustani.
Russian Comfrey-Symphytum Peregrinum au Officinale) ni mmea uliopatikana katika mapori ya milima ya Kaukasus-Urusi. Pengine ndio maana ukapewa jina la Russian Comfrey. Mmea huu ulipelekwa uingereza-ulaya katika karne iliyopita na kutoka Uingereza ulisambazwa Canada, Amerika, Australia, New Zealand na Afrika.
Waingereza ndio walioleta hapa Afrika ya Mashariki. Mmea huu hupandwa zaidi katika mikoa ya Ruvuma,Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Mbeya, Iringa n.k. Mmea huu haufai kupandwa katika nyanda za upepo wenye joto au sehemu zenye joto ukanda wa Pwani. Hii ndiyo sababu Comfrey inaweza kupandwa katika kivuli cha upenu wa nyumba au miti. Na watu wengine hupenda kuuita mboga tumbaku kwa sababu majani yake yanafanana na ya tumbaku.
Comfrey ni mmea ujengao Protini upesi zaidi kuliko mimea mingine iliyopo. Zaidi ya protin una viini muhimu vya vitamin na hasa kiasi cha juu zaidi cha vitamin B12 ambayo ni muhimu kwa ujenzi wa seli mwilini.
Kwa maana hii mmea huu unafaa sana kutumiwa na wenye matatizo ya Sickle Cell, Sickle Cell hushambulia chembechembe za damu. Pia kwa kiasi ni ugonjwa wa kurithi. Sehemu zenye ugonjwa wa Malaria kwa wingi ndio huathirika zaidi. Unatumia majani, na pia unaweza kuchanganya na mchicha, Chinese, Swiss Chard au mboga za maboga. Mchanganyiko huu ni muhimu sana katika kupambana na matatizo ya Sickle Cell. Unga wa majani uliokaushwa kwa kaushio la jua (Solar driers) ni muhimu kwa kuongeza protini ndani ya vyakula mbalimbali kama supu, mchuzi wa mboga (ugali), uji n.k
Pia majani mabichi au yaliyoanikwa unaweza kutumia kwa chai kwa kuongeza asali/ sukari, utaboresha afya yako kwa kinywaji hiki.
Magonjwa mengine yanayoponywa kwa kutumia Comfrey ni jeraha, michubuko ni uvimbe wa miguu na mikono. Majani na mizizi ndivyo vinavyotumika kutengeneza dawa.
Comfrey  ni malisho muhimu kuwakilisha samaki na wanyama. Ni malisho bora kwa wanyama wenye tumbo moja kama kuku n.k kwa sababu ina nyuzi kidogo zaidi kuliko mimea mingine. Inasaidia kujenga mifupa. Kwa ng’ombe wa maziwa hutoa maziwa mengi. Comfrey kwa mbolea (hupata potashi kufunika udongo kwa majani ya Comfrey (Mulching) hasa kwa nyanya na viazi.
Ni vizuri zile sehemu ambazo unastawi wananchi wakachangamkia na kuupanda ili kupata faida zake.
Ukifanya jitihada za kututembelea ofisini utajua tunatibu maradhi mengine pia ikiwamo homa ya matumbo (Typhoid), Malaria, michirizi inayosababishwa na ujauzito( Stretch Marks in Pregnancy), mkanda wa Jeshi (Herper Zosters), Matatizo ya meno, Magonjwa ya ngozi, tumbo, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa gesi tumboni, kupunguza makali ya saratani, kisukari, BP ya kupanda. Mengine ni pamoja na maumivu makali wakati wa hedhi (Dysmenorrhea), kutoka damu nyingi wakati wa hedhi (Menorrhagia), kukawia kuingia hedhini (Amenorrhea), matatizo ya kukoma kwa hedhi (Menopause), kulegea kwa uzazi (vagina discharge), miguu kuwaka moto, vidonda vya tumbo, kufunga kuharisha, matatizo ya uvimbe wa kizazi na mengine mengi ambayo si rahisi kuyaorodhesha isipokuwa baadhi.
Na kadri mgonjwa anapofika na kujieleza, ndivyo tunavyotambua Tatizo analokuwa nalo na anahitaji tiba ipi.
 

Mazingira Natural Products
Mbeya
Simu; +255 754 807401, +255 719 564276
Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com


MAAJABU YA MAFENESI ( ARTOCARPUS HETEROPHYLLUS LAM)




MAFENESI au Jackfruits kwa lugha ya kiingereza na majina mengine Langka na Nangka ni matamu kwa ladha yake. Lakini pia yana umuhimu katika mwili wa binadamu.
Hakuna anayejua vizuri asili ya mafenesi lakini inaaminika asili yake ni katika misitu ya mvua nyingi ya Magharibi ya ghats (western ghats).
Lakini kwa sasa inalimwa katika nchi za india, Burma, Sri lanka, China, Malaya, East in indies, Qeens land, Maturities, Hawaii, Suriname, Brazil, Kenya, Uganda na Tanzania,
Na nchini Tanzania hulimwa Pemba, Unguja, Dar es Salaam, Pwani, Morogoro, Tanga na Mbeya(Kyela) nk.
Na sehemu zinazotumika ni majani, matunda, utomvu, mizizi na magamba. Na mfenesi unaweza kukua hadi kufikia kimo cha mita 20.
Mafenesi yana vitamin B1 na B2, vitamin C, flavonoids na ni chanzo kizuri cha carotenoids na Potassium nk. Katika nchi kama Thailand majani machanga na maua machanga ya kiume hupikwa kama mboga. Matunda yaliyoiva hulimwa yakiwa mabichi au yakiwa yamepikwa na nazi au hutengeneza ice cream, chatine(chutney), jam, jeli, (jelly) na pesti.
Mfenesi una faida nyingi tukianzia na majani hutibu homa  magonjwa ya ngozi majipu, vidonda na kisukari. Tunda lina wingi wa vitamin C ambayo kiafya inasaidia kuongeza kinga ya mwili, tunda hili linasaidia kupunguza mafua, kifua na homa. Vitamin C hiyo husaidia kuondoa sumu mwilini na kuukinga mwili na maradhi pale linapotumiwa ipasavyo.
Fenesi pia linasaidia kuupa mwili nguvu kwani lina madini ya wanga na sukari ambayo husaidia kuupa mwili nguvu kwa haraka. Fenesi linaweza kuondoa sumu mwilini hivyo linakinga na saratani za aina mbalimbali kama ile ya mapafu. Mdomo na kinywa  na tumbo. Fenesi hutia nguvu mwili na kwenda haja vizuri. Kwa wale wenye matatizo ya shinikizo la damu, Fenesi ni tiba nzuri kwani ina madini ya potassium ambayo husaidia kwa namna moja au nyingine kupunguza uwezekano wa kupata  shinikizo la damu na kukuondoa katika hatari ya kupata kiharusi. Mizizi yake hutibu homa, kuharisha, magonjwa ya ngozi  na asthma. Utomvu wake ukichanganywa na siki hutibu tambazi (abscesses), kuumwa na nyoka na uvimbe wa tezi (glandular) nk. Magamba yake hutibu vidonda kwa kuweka kibandiko (poultices)
Mbegu zake zikikaangwa huongeza tendo la kujamiiana.
Watanzania tuanze kula fenesi baada ya kula husaidia kurahisisha mmeng’enyo wa chakula kwa sababu ni tunda muhimu na linasaidia pia kuzuiwa kuvimbiwa. Pia kwa wenye matatizo ya macho na kutokuona vyema, tunda hili ni mkombozi mkubwa  kwani lina wingi wa vitamin C ambayo huongeza kiwango cha kuona (uoni), pia lina uwezo wa kuondoa sumu, hufanya kazi katika retina na kuifanya iwe imara.
Ukifanya jitihada za kututembelea ofisini utajua tunatibu maradhi mengine pia ikiwamo homa ya matumbo (Typhoid), Malaria, michirizi inayosababishwa na ujauzito( Stretch Marks in Pregnancy), mkanda wa Jeshi (Herper Zosters), Magonjwa ya ngozi, tumbo, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa gesi tumboni, kupunguza makali ya saratani, kisukari, BP ya kupanda. Mengine ni pamoja na maumivu makali wakati wa hedhi (Dysmenorrhea), kutoka damu nyingi wakati wa hedhi (Menorrhagia), kukawia kuingia hedhini (Amenorrhea), matatizo ya kukoma kwa hedhi (Menopause), kulegea kwa uzazi (vagina discharge), miguu kuwaka moto, vidonda vya tumbo, kufunga kuharisha, matatizo ya uvimbe wa kizazi na mengine mengi ambayo si rahisi kuyaorodhesha isipokuwa baadhi.
Na kadri mgonjwa anapofika na kujieleza, ndivyo tunavyotambua Tatizo analokuwa nalo na anahitaji tiba ipi.
 

Mazingira Natural Products
Mbeya
Simu; +255 754 807401, +255 719 564276
Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com

UMUHIMU WA TIKITI MAJI (CITRULLUS VULGARIS & CUCUMIS MELO).




Tikiti maji linapendwa na watu wengi kutokana na utamu wake. Na waingereza huita watermelon na milk melon.
Nchini India hutumia aina mbili water_melon(citrullus vulgaris) na milk melon (cucumis melo).
 
Tanzania tunatumia sana aina Tikiti maji Water_melon(citrullus vulgaris).
Tunda hilo lina faida nyingi pamoja na kuwa ni chanzo kikuu cha Protini, Mafuta,Nyuzinyuzi, Wanga,Calcium, Phosphorus, Chuma,Vitamin A,B6,C. Potasium, Magnesium, Carotene, anthocyanins na Virutubisho vingine vingi. Tunda linasaidia kuwa na uwezo mkubwa wa kuimalika ka kwa misuli na mfumo wa fahamu kufanya kazi zake vizuri na kuondoa katika hatari ya kupata shinikizo la damu. Pia vitamin A ambayo husaidia kuboresha uhai wa macho na kuondoa sumu mwilini.
Vitamini C inayotokana na tunda hilo inasaidia kuboresha kinga, kuponya majeraha, kukinga uharibifu wa seli, kuboresha afya ya meno na Fizi na  Vitamini, B6 inayosaidia ubongo kufanya kazi na pia kuibadilisha protini na kuwa nishati.
Tunda hili linapoliwa na mbegu zake lina uwezo wa kuamsha hisia za kimwili na kuondoa matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume(Erectile Dysfunction). Tikiti maji lina Virutubisho vinavyoweza kuleta Mhemuko wa kimwili huwa na nguvu za kufanya tendo la ndoa bila kujali jinsia kwa maana kuwa tatizo hilo lipo kwa wanawake na wanaume hivyo nivyema wawe na utaratibu wa kutumia tunda hilo.
Utumiaji wa tikiti maji kwa wenye shida hiyo madhara kama wale wanao tumia vidonge vya kuongeza nguvu hizo ili kufanikisha tendo hilo ambapolina umuhimu wa upekee kwa binadamu yoyote kwa kuwa ndiyo husababisha chanzo cha binadamu  mpya.
Tunda hilo lina uwezo wa kusafisha FIGO pamoja na njia ya mkojo yaani urethra na kulainisha vizuri mishipa ya damu. Kutokana na kulainisha mishipa ya damu inayosababisha mzunguko wake mwilini kuwa mwepesi na kuzalisha virutubisho aina ya eargininei ambavyo huchochea uzalishaji wa nitric oxide katika mishipa ya damu na ongezeko la ufanyaji wa tendo  la ndoa.
Tikitimaji hufaa kwa kupunguza za uzito wa mwili na kisukari.Mbegu zake unaweza kuzikaanga hivihivi au kuzikaanga kwenye mafuta  kidogo kutegemea matakwa yako.
Kumbuka mbegu za Tikitimaji zina protin asilimia 34 na asilimia 52 ya mafuta.
Ukifanya jitihada za kututembelea ofisini utajua tunatibu maradhi mengine pia ikiwamo homa ya matumbo (Typhoid), Malaria, michirizi inayosababishwa na ujauzito( Stretch Marks in Pregnancy), mkanda wa Jeshi (Herper Zosters), Magonjwa ya ngozi, tumbo, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa gesi tumboni, kupunguza makali ya saratani, kisukari, BP ya kupanda. Mengine ni pamoja na maumivu makali wakati wa hedhi (Dysmenorrhea), kutoka damu nyingi wakati wa hedhi (Menorrhagia), kukawia kuingia hedhini (Amenorrhea), matatizo ya kukoma kwa hedhi (Menopause), kulegea kwa uzazi (vagina discharge), miguu kuwaka moto, vidonda vya tumbo, kufunga kuharisha, matatizo ya uvimbe wa kizazi na mengine mengi ambayo si rahisi kuyaorodhesha isipokuwa baadhi.
Na kadri mgonjwa anapofika na kujieleza, ndivyo tunavyotambua Tatizo analokuwa nalo na anahitaji tiba ipi.


Mazingira Natural Products
Mbeya
Simu; +255 754 807401, +255 719 564276
Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com

MAAJABU YA HOLY BASIL (OCIMUM SANCTUM).





Mmea huu huheshimiwa sana na jamii ya wahindu (India).Majani yake hutumika katika kuabudu katika miungu yao. Wahindu huotesha katika vyungu vya kuoteshea maua. Na hukua kufikia kimo cha sentimita 75. Na asili ya Holy Basili ni India na huita TULSI .Na ilifika ulaya magharibi karne ya 16. Na sasa inalimwa sehemu nyingi ulimwenguni.
Majani ya TULSI yanatoa mafuta (essential oil) yenye eugenol, carvacrol, methyl eugenol,caryophyllene. Yana tabia ya kuharibu bacteria na wadudu. Majani yake hutumika kutibu homa, dengue, bronchitis, cataract, ringworm na magonjwa ya ngozi, kuuma kwa sikio na mafuta . Mizizi hupunguza jasho linachotokana na kuumwa malaria majani pia hutumika kutibu matatizo ya Ini, Colic, Matatizo ya usagaji wa chakula, dysentery gas, gastro-enteritis,Homa ambazo chanzo chake hakijulikani vizuri kwa kuchanganya na Iliki, mafua na kikohozi,Ringworm, Cardiac pain, cold, influenza, Bp ya kushuka, maumivu ya ribs, magonjwa ya ngozi,minyoo, matatizo ya ngozi, minyoo, matatizo ya njia ya mkojo, sorethroat, matatizo yaupumuaji, mawe ya kwenye figo, stress, maumivu ya kichwa. Matatizo kwa watoto kama kikohozi,mafua, homa, kuharisha na kutapika. Kuumwa na wadudu, matatizo ya macho, matatizo ya meno, kuumwa kichwa, gout na kisonono.
Mbegu hutumika kwa matatizo ya mfumo wa mkojo, kuharisha, dysentery sugu, kukosa choo, kisonono, piles, kikohozi,matatizo ya Figo, Homa, sores na  sinuses.
Ukifanya jitihada za kututembelea ofisini utajua tunatibu maradhi mengine pia ikiwamo homa ya matumbo (Typhoid), Malaria, michirizi inayosababishwa na ujauzito( Stretch Marks in Pregnancy), mkanda wa Jeshi (Herper Zosters), Magonjwa ya ngozi, tumbo, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa gesi tumboni, kupunguza makali ya saratani, kisukari, BP ya kupanda. Mengine ni pamoja na maumivu makali wakati wa hedhi (Dysmenorrhea), kutoka damu nyingi wakati wa hedhi (Menorrhagia), kukawia kuingia hedhini (Amenorrhea), matatizo ya kukoma kwa hedhi (Menopause), kulegea kwa uzazi (vagina discharge), miguu kuwaka moto, vidonda vya tumbo, kufunga kuharisha, matatizo ya uvimbe wa kizazi na mengine mengi ambayo si rahisi kuyaorodhesha isipokuwa baadhi.
Na kadri mgonjwa anapofika na kujieleza, ndivyo tunavyotambua Tatizo analokuwa nalo na anahitaji tiba ipi.



Mazingira Natural Products
Mbeya
Simu; +255 754 807401, +255 719 564276
Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com