Pages

Thursday, August 11, 2022

MUHOGO ZAO LA KARNE YA 21

 


            Leo nimekuandalia zao la muhogo .Na asili ya zao la muhogo ni Amerika ya kusini hasa brazil. Muhogo ni zao lenye  kustahimili hali mbaya kama ukame na mvua zisizoaminika,kutoa mazao mengi kwa eneo na  kustahimili mashambulizi ya magonjwa na wadudu.Jina la kibotania huitwa manihot esculenta au manihot utilisima.majina mengine huitwa manioc ,yucca root.waingereza huita cassava. zao la muhogo ni muhimu sana kwa Tanzania zaidi kwa wakulima wadogo wenye kipato cha chini.kwa kanda ya kusini muhogo ni chakula  kikuu ambacho kinachukua 75%  ya chakula kwa maeneo yote ya mikoa ya lindi na mtwara .kwa siku za karibuni muhogo unaongoza kwa kuongezeka katika umaarufu  kuliko mazao yote ya chakula nchini .Majani ya muhogo yana protini,vitamin B12,B-2,Beta Carotene na niacin, Iysine, Isoleucine, leucine, valine.Muhogo ukiliwa huzuia saratani na kutibu Arthritis,Conjunctivitis,kuharisha,flu,maumivu ya kichwa(headaches),kuongeza nguvu mwilini,kulinda na kurekebisha tishu za mwili ,kupunguza lehemu mwilini,kupunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya moyo,kujenga mifupa na meno kuwa na nguvu(imara),kutunza metabolism kuwa ya kawaida, inasaidia kurekebisha moyo utende kazi yake vizuri na blood pressure(BP) na wale wenye heart rhythm wanashauriwa kula mihogo mara kwa mara kwa kuwa una potassium kwa wingi,huzuia kukosa choo na kupunguza uzito,huimarisha uzazi(enhanced fertility) na ndio maana watu wengi siku hizi wanakula mihogo mibichi, wale walio na tatizo la celiac watumie mihogo mara kwa mara mihogo haina Gluten,wenye kisukari wale mihogo kwa kuwa inapunguza kiwango cha sukari,huzuia saratani,huimarisha Probiotics na kuongeza kinga ya mwili, inazuia Neural damage in brain na kuzuia Alzheimer kwa matatizo haya tumia majani machanga ya muhogo kwa kuwa yana vitamin kwa wingi ,huzuia anemia na kusaidia damu kubeba oksijeni vizuri na husaidia kupunguza msongo na fadhaa.

         Majani ya muhogo muhogo wenyewe yana kiwango kikubwa cha sumu aina ya hydrocyanic acid amabayo ni hatari kwa mwili lakini vitu hivyo vikipikwa sumu hiyo huondoka na kuwa salama kwa mtumiaji.      

  Na kadri mgonjwa anapofika na kujieleza, ndivyo tunavyotambua Tatizo analokuwa nalo na anahitaji tiba ipi.

 


Mazingira Natural Products

Mbeya

Simu; +255 754 807401, +255 719 564276

Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com

Blogu: mazingiranp.blogspot.com

 

No comments:

Post a Comment