Pages

Sunday, August 24, 2014

MIUJIZA YA BIDENS PILOSA



Licha ya kusambaa kwa mmea huu takribani sehemu nyingi ulimwenguni.Pia uliitwa majina mengi Adenolepis Spp na campylotheca Spp. Wachina  huiita Gui zhen, Wahispania huiita aceitilla au moriseco, USA huiita beggars tick, Spanish needle au needle grass, India huita Ottrancedi, Nchi za kusini mwa afrika huita Uqadoro, Afrika Kusini huita black jack na Brazil huita picao preto au cuamba.
Mmea   huu umesambaa takribani kila kona ya Tanzania na kujipatia umarufu wa kushona nguo (kishona nguo) Wanyakyusa huiita matatila, Wandari huiita Ukapunika , Wameru huiita Manyungunyungu, Wairaqu QALMIR BO. Pamoja na uwezo wake wa ulinzi wa kiafya ukiwemo ule uwezo wa kuongeza na kusafisha damu kwa kasi kuliko hata mchicha, sio jambo la kushangaza. Mtanzania ambaye nyuma ya nyumba yake kuna vishona Kishona nguo akapatikana ana upungufu wa damu.
Majani yake hutumika kamatiba ya maradhi mengi , yakiwemo Malaria, Sickle cell, Kisukari, Macho yenye ukungu Shida ya kukojoa kitandani,Vidonda vibichi Vidonda vya tumbo ,Tumbo kuuma, huangamiza minyoo, Hutibu homa ya vipindi kwa watoto,Gesi tumboni, Colds and flue, Chronic hepatitis, na Mambukizi ya njia ya mkojo (UTI) nk.
Maua yake yakikaushwa na kusagwa kuwa unga huufaa sana kwa kipodozi cha asili kwani huondoa chunusi na kulainisha ngozi.
Mmea huu umekuwa ukiwasaidia sana watu wenye kisukari hasa pale unapochanganya na mchunga (Dandelion) na kula kama mboga mala 1 au mbili kwa siku. Huongeza damu kwa kasi sana ikitumika kama chai ama kama mboga. Pia hutumika kwa watu wenye shinikizo la damu la chini. Kwa kutumia majani mabichi ama yale yaliokaushwa vizuri hasa yaliyo kaukia kivulini yafaa sana kwa chai kuliko majani ya chai ya viwandani ambayo yana aina Fulani ya sumu iitwayo thain.
Husaidia kuondoa sumu mwilini hasa zile zilizo ambatanana na chakula kwa kulisaidia ini, pamoja na Figo ndio maana inapotumika pamoja na mchunga (Tumbaku ya wazuka) huleta manufaa mwilini.
Huondoa tatizo la kufanya choo pamoja na kupunguza uwezekano wakupata saratani ya utumbo mpana na bawasili (Haemorrhoids). Huondoa tatizo la kufunga choo kwa watoto na homa, na malaria kwa matumizi ya maji yaliyochemshwa. Pamoja na mizizi nusu kikombe cha chai kwa muda wa siku tano. Pia huleta hamu ya kula.
Ukichanganya na mchunga (tumbaku ya wazuka)  husaidia sana wanawake wenye hedhi zisizo na mpangilio.Mizizi yake ni bora sana kwa tiba ya malaria na  huweza kuondoo tatizo la kufunga choo.
Mmea mzima hutumika kutibu tonsihitis, Canker sores, kuoshea mdomo na kuongeza maziwa kwa akina mama. Pia ni chakula kwani majani yake machanga yanaweza kuliwa mabichi au yakiwa yameokwa lakini yana radha ya uchungu. Huko Zimbabwe majani yanachemshwa na kuungwa na siagi ya karanga na kuliwa na vyakula vingine. Nchi nyingi za kiafrika zinakula mboga ya majani ya Bidens Pilosa.
Tahadhali.
Usitumie kwa wingi sana inaweza kusababisha kuwasha kwa Figo na bladder.
Ukifanya jitihada za kututembelea ofisini utajua tunatibu maradhi mengine pia ikiwamo homa ya matumbo (Typhoid), Malaria, michirizi inayosababishwa na ujauzito( Stretch Marks in Pregnancy), mkanda wa Jeshi (Herper Zosters), Magonjwa ya ngozi, tumbo, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa gesi tumboni, kupunguza makali ya saratani, kisukari, BP ya kupanda. Mengine ni pamoja na maumivu makali wakati wa hedhi (Dysmenorrhea), kutoka damu nyingi wakati wa hedhi (Menorrhagia), kukawia kuingia hedhini (Amenorrhea), matatizo ya kukoma kwa hedhi (Menopause), kulegea kwa uzazi (vagina discharge), miguu kuwaka moto, vidonda vya tumbo, kufunga kuharisha, matatizo ya uvimbe wa kizazi na mengine mengi ambayo si rahisi kuyaorodhesha isipokuwa baadhi.
Na kadri mgonjwa anapofika na kujieleza, ndivyo tunavyotambua Tatizo analokuwa nalo na anahitaji tiba ipi.


Mazingira Natural Products
Mbeya
Simu; +255 754 807401, +255 719 564276
Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com



No comments:

Post a Comment