Pages

Wednesday, April 6, 2016

MUUJIZA WA ASPARAGUS OFFICINALIS.

Mmea huu umekuwa ukilimwa na kustawi sehemu mbalimbali huko ulaya sehemu zenye udongo wa kichanga . Na pia hustawi India, china, Taiwan, Africa na Malaysia . Jina la kitaalamu huitwa chlorophytum borivianum na India shatawar au sootmuli .Na waingereza huita Asparagus. Majani yake huliwa na mizizi yake hutumika kwa dawa .Na hapa Tanzania hupatikana mikoa ya Iringa, Njombe, Dar es salaam na Arusha nk. kwenye asparagus officinalis kuna Protin, mafuta kidogo, nyuzinyuzi, kabohidreti, calcium, phosphorus, magnesium, chuma, vitamin A, Vitamin B-comprex kiasi na vitamin C,
Mizizi(rhizome) yake hufaa  sana kwa wenye matatizo ya moyo uliyotanuka na udhaifu wa moyo . Na ni chakula kinachofaa kwa moyo kikichanganywa na asali.
Na mizizi ya asparagus imekuwa ikitumiwa  katika dawa za Aryuvelda  huko India kwa siku nyingi Kuamsha tendo la ndoa. Asparagus ina mchango mkubwa wa kuchochea homoni za kijinsia hivyo huamsha na kuongeza hisia za nguvu za kike na kiume . kwa sasa kumekuwa na mahitaji makubwa huko mashariki ya kati na ulaya.Dawa hiyo huuzwa kwa kutumia jina la safed musli huuzwa ghali.  Na huongeza ukubwa na uwezo kutanua misuli mirefu na unene wa utupu kama unatumiwa mara kwa mara kwa wanaume. Na kupunguza matatizo ya uhanithi (impotency). Uwepo wa saponins na alkaloids ndizo zinazo ongeza nguvu za uzazi.
Tahadhari.
Watu walio na matatizo ya mawe kwenye figo, cystitis, kisukari, Nephritis au jongo(gout) wasitumie mpaka watibu matatizo waliyonayo.
Mazingira Natural Products
Mbeya
Simu; +255 754 807401, +255 719 564276
Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com

No comments:

Post a Comment