Pages

Saturday, May 26, 2018

HIVI VINAONGEZA NGUVU ZA KIUME

Asparagus
Broccoli








         





Leo nitaeleza maelezo ya aina gani ya vyakula ambavyo husaidia kuongeza idadi ya mbegu za kiume zenye afya na ujazo wake na faida zingine za afya ya uzazi.
Mboga ijulikanayo kama Asparagus Officinalis ambayo huwa na kiasi kikubwa cha vitamin C ambayo ina wigo mkubwa katika kusaidia utengenezwaji wa mbegu za kiume.
Vitamini C hutoa ulinzi kwa seli zilizopo katika kokwa za kiume (korodani) zisidhuriwe na radiko huru (Free radicals), hivyo kufanya kiwanda cha mbegu za kiume kutengeneza mbegu zenye afya na zenye uwezo wa kupiga mbizi kwa kasi.
Broccoli ni aina ya mboga ambazo zipo hapa nchini ingawa watanzania wengi hatuli, ila katika migahawa ya magharibi na ya kichina. Broccoli ina kiasi kikubwa cha foliki ambayo hujulikana pia kama vitamin B9. Vitamini B9 ilishajulikana kwa kusaidia wanawake waliokuwa wagumba kuweza kushika mimba, kwa sasa pia inajulikana kusaidia wanaume wagumba.
Spinachi ni moja ya mboga mboga ambayo inakubalika kusheheni tindikali ya foliki ambayo ni muhimu sana katika utengenezwaji wa mbegu za kiume. Ingawa mboga zote za kijani zinakubalika kutokana na kusheheni vitamini mbalimbali.
Pale mwanaume anapokuwa na kiwango kidogo cha folate husababisha kuzalisha mbegu za kiume zisizotimilifu. Mbegu za namna hii zinakua na wakati mgumu katika kufikia na kupenya katika tando za kijiyai cha kike wakati wa Urutubishaji.
Hali kama hii inaweza kusababisha kuzaliwa kwa mtoto mwenye hitilafu za kimaumbile kwa sababu ya kijiyai cha kike kurutubishwa na mbegu yenye hitilafu.
Tunda lijulikanalo kama komamanga ambalo lipo pia katika jamii yetu linajulikana kusaidia kutengenezwa idadi kubwa ya mbegu zenye ubora ndio maana wahindi hutumia sana.
Ndizi ni moja ya tunda ambalo limesheheni vitamin A, B1 na C ambazo husaidia mwili kutengeneza mbegu za kiume zenye afya na vilevile kuongeza wingi wa mbegu hizo.
Pia, Ndizi huwa na kimeng’enya aina ya Bromelain ambacho huzuia mlipuko wa kinga ya mwili, hivyo kusaidia kuongezeka wingi wa mbegu za kiume pamoja na kasi yake.
Mayai ni moja ya vyakula vinavyokubalika kusaidia kuongeza wingi wa mbegu za kiume na vilevile kusaidia kuongeza kasi ya mbegu za kiume.
Kutokana na mayai kusheheni vitamin E na Protini ambavyo vyote kwa pamoja husaidia kulinda mwili kutoka kwa sumu za radiko ambazo hupunguza wingi wa mbegu za kiume.
Vilevile virutubisho hivyo vilivyopo katika mayai husaidia kutengenezwa kwa mbegu imara zeneye afya jambo ambalo ni muhimu kwa Urutubishwaji wa kijiyai cha kike.
Chocholate yenye rangi ya kahawia iliyokolea inajulikana zaidi duniani, sababu kubwa ni kutokana na aina hii ya chocolate kuwa na Tindikali ya amino (Protini) ijulikanayo kama L-Arginine HCL ambayo husaidia kuongeza ujazo wa mbegu za kiume na wingi wake. Vilevile huongeza msisimko wa kilele cha tendo la ndoa.
Nyanya chungu au Ngogwe nazo husaidia sana kuimarisha tendo la ndoa zikitumiwa mara kwa mara.
Na kadri mgonjwa anapofika na kujieleza, ndivyo tunavyotambua Tatizo analokuwa nalo na anahitaji tiba ipi.
 

Mazingira Natural Products
Mbeya
Simu; +255 754 807401, +255 719 564276
Barua pepe; mnp.kaka@gmail.com

No comments:

Post a Comment